Artwork

Konten disediakan oleh UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Semua konten podcast termasuk episode, grafik, dan deskripsi podcast diunggah dan disediakan langsung oleh UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations atau mitra platform podcast mereka. Jika Anda yakin seseorang menggunakan karya berhak cipta Anda tanpa izin, Anda dapat mengikuti proses yang diuraikan di sini https://id.player.fm/legal.
Player FM - Aplikasi Podcast
Offline dengan aplikasi Player FM !

‘Kizazi kizima’ kinaweza kupotea Palestina, Mkuu wa UNRWA aonya

1:47
 
Bagikan
 

Manage episode 425393954 series 2027789
Konten disediakan oleh UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Semua konten podcast termasuk episode, grafik, dan deskripsi podcast diunggah dan disediakan langsung oleh UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations atau mitra platform podcast mereka. Jika Anda yakin seseorang menggunakan karya berhak cipta Anda tanpa izin, Anda dapat mengikuti proses yang diuraikan di sini https://id.player.fm/legal.
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA, Philippe Lazzarini, hii leo Juni 24 ametahadharisha vikali kwamba UNRWA itaporomoka kama ufadhili hautapatikana haraka, na "kizazi kizima" cha watoto wako katika hatari ya kuangukia kwenye "umaskini, chuki na migogoro ya baadaye”. Katika ombi la uungwaji mkono wa kisiasa na kifedha kutoka kwa Mataifa Wanachama wa Umoja wa Mataifa alilolitoa mbele ya Kamisheni ya Ushauri ya UNRWA mjini Geneva, Uswisi, Philippe Lazzarini amesisitiza kwamba shirika hilo linajikongoja chini ya uzito wa mashambulizi yasiyokoma huko Gaza baada ya karibu miezi tisa ya mashambulizi makali ya Israel.Mbali na wafanyakazi 193 wa UNRWA waliouawa tangu mashambulizi yaliyoongozwa na Hamas na utekaji nyara kuzusha vita, Bwana Lazzarini ameeleza kwa kina ukubwa wa uharibifu huo katika majengo ya Umoja wa Mataifa akisema sasa shinikizo kwa shirika hilo ni kubwa zaidi.Amesema zaidi ya miundombinu 180 imevunjwa au kuharibiwa tangu Oktoba 7 na takribani watu 500 wameuawa wakitafuta ulinzi chini ya bendera ya Umoja wa Mataifa."Majengo yetu yametumiwa kwa madhumuni ya kijeshi na Israel, Hamas na makundi mengine yenye silaha ya Palestina," mkuu huyo wa UNRWA amewaeleza wajumbe akiongeza kuwa, misafara ya UNRWA imeshambuliwa na hivyo nafasi ya uutendaji kazi inapungua.Akiangazia jinsi Gaza ilivyo sasa, Lazzarini amesema ni kuzimu kwa zaidi ya watu milioni mbili huko, akibainisha kuwa watoto wanaendelea kufa kwa utapiamlo na upungufu wa maji mwilini, "huku chakula na maji safi vikisubiri kwenye malori" nje ya eneo hilo.
  continue reading

100 episode

Artwork
iconBagikan
 
Manage episode 425393954 series 2027789
Konten disediakan oleh UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Semua konten podcast termasuk episode, grafik, dan deskripsi podcast diunggah dan disediakan langsung oleh UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations atau mitra platform podcast mereka. Jika Anda yakin seseorang menggunakan karya berhak cipta Anda tanpa izin, Anda dapat mengikuti proses yang diuraikan di sini https://id.player.fm/legal.
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA, Philippe Lazzarini, hii leo Juni 24 ametahadharisha vikali kwamba UNRWA itaporomoka kama ufadhili hautapatikana haraka, na "kizazi kizima" cha watoto wako katika hatari ya kuangukia kwenye "umaskini, chuki na migogoro ya baadaye”. Katika ombi la uungwaji mkono wa kisiasa na kifedha kutoka kwa Mataifa Wanachama wa Umoja wa Mataifa alilolitoa mbele ya Kamisheni ya Ushauri ya UNRWA mjini Geneva, Uswisi, Philippe Lazzarini amesisitiza kwamba shirika hilo linajikongoja chini ya uzito wa mashambulizi yasiyokoma huko Gaza baada ya karibu miezi tisa ya mashambulizi makali ya Israel.Mbali na wafanyakazi 193 wa UNRWA waliouawa tangu mashambulizi yaliyoongozwa na Hamas na utekaji nyara kuzusha vita, Bwana Lazzarini ameeleza kwa kina ukubwa wa uharibifu huo katika majengo ya Umoja wa Mataifa akisema sasa shinikizo kwa shirika hilo ni kubwa zaidi.Amesema zaidi ya miundombinu 180 imevunjwa au kuharibiwa tangu Oktoba 7 na takribani watu 500 wameuawa wakitafuta ulinzi chini ya bendera ya Umoja wa Mataifa."Majengo yetu yametumiwa kwa madhumuni ya kijeshi na Israel, Hamas na makundi mengine yenye silaha ya Palestina," mkuu huyo wa UNRWA amewaeleza wajumbe akiongeza kuwa, misafara ya UNRWA imeshambuliwa na hivyo nafasi ya uutendaji kazi inapungua.Akiangazia jinsi Gaza ilivyo sasa, Lazzarini amesema ni kuzimu kwa zaidi ya watu milioni mbili huko, akibainisha kuwa watoto wanaendelea kufa kwa utapiamlo na upungufu wa maji mwilini, "huku chakula na maji safi vikisubiri kwenye malori" nje ya eneo hilo.
  continue reading

100 episode

כל הפרקים

×
 
Loading …

Selamat datang di Player FM!

Player FM memindai web untuk mencari podcast berkualitas tinggi untuk Anda nikmati saat ini. Ini adalah aplikasi podcast terbaik dan bekerja untuk Android, iPhone, dan web. Daftar untuk menyinkronkan langganan di seluruh perangkat.

 

Panduan Referensi Cepat