Artwork

Konten disediakan oleh UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Semua konten podcast termasuk episode, grafik, dan deskripsi podcast diunggah dan disediakan langsung oleh UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations atau mitra platform podcast mereka. Jika Anda yakin seseorang menggunakan karya berhak cipta Anda tanpa izin, Anda dapat mengikuti proses yang diuraikan di sini https://id.player.fm/legal.
Player FM - Aplikasi Podcast
Offline dengan aplikasi Player FM !

Viongozi wa UN wasihi haki ya watu kuandamana Kenya iheshimiwe - Kenya

1:46
 
Bagikan
 

Manage episode 425762814 series 2027789
Konten disediakan oleh UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Semua konten podcast termasuk episode, grafik, dan deskripsi podcast diunggah dan disediakan langsung oleh UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations atau mitra platform podcast mereka. Jika Anda yakin seseorang menggunakan karya berhak cipta Anda tanpa izin, Anda dapat mengikuti proses yang diuraikan di sini https://id.player.fm/legal.
Viongozi wa Umoja wa Mataifa wamekazia wito uliotolewa na Katibu Mkuu wa Umoja huo Antonio Guterres kwa mamlaka za Kenya kufuatia machafuko yaliyotokana na maandamano yaliyoanza nchini humo Juni 18 kupingwa muswada wa fedha wa mwaka 2024. Maandamano yalianza Juni 18, yakiongozwa na vijana wakitaka muswada huo wa fedha ukataliwe wakidai yaliyomo yatasababisha maisha kuwa magumu zaidi.Mathalani ongezeko la kodi kwenye bidhaa muhimu kama vile mkate na taulo za kike, mapendekezo ambayo baadaye yaliondolewa kwenye rasimu na Bunge.Wabunge waliupitisha muswada huo jana Jumanne kitendo kilichochochea maandamano zaidi katika kaunti mbali mbali za Kenya na ambapo vyombo vya habari vinaripoti vifo zaidi ya watu 18, na wengine wamejeruhiwa.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kupitia msemaji wake alisema..“Ni muhimu sana haki za watu kuandamana kwa amani zizingatiwe. Kama tusemavyo duniani kote. Ni muhimu pia mamlaka zihakikishe kuwa haki hizo zinalindwa, na matukio ya vifo mikononi mwa vikosi vya usalama yachunguzwe. Watu wawajibishwe, polisi wa Kenya, mamlaka na jeshi wajizuie, na kwa waandamanaji waandamane kwa amani. »Inger Anderesen ambaye ni Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira UNEP pamoja na kuunga mkono kauli ya Katibu Mkuu amesihi mamlaka za Kenya kuhakikisha maandamano ya amani yanaweza kufanyika nchini Kenya.Bi. Andersen amesikitishwa pia na ripoti za vifo na majeruhi na kutuma salamu za rambirambi kwa familia ambazo zimepoteza wapendwa wao.Naye Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Kenya, Stephen Jackson yeye ametumia ukurasa wake wa X kuchapisha ujumbe wa Katibu Mkuu Guterres.Wakati huo huo, Rais wa Kenya William Rutto amehutubia taifa kwa mara ya pili ndani ya chini ya saa 24 na kusema pamoja na kwamba bunge limepitisha na mabadiliko, na wananchi wamezungumza kupitia maandamano kuukataa, ameamua kutotia saini muswada huo na hivyo utaondolewa bungeni na amekubaliana na wabunge kuwa ni uamuzi wao wa pamoja.
  continue reading

100 episode

Artwork
iconBagikan
 
Manage episode 425762814 series 2027789
Konten disediakan oleh UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations. Semua konten podcast termasuk episode, grafik, dan deskripsi podcast diunggah dan disediakan langsung oleh UN Global Communications (Digital Solutions Unit) and United Nations atau mitra platform podcast mereka. Jika Anda yakin seseorang menggunakan karya berhak cipta Anda tanpa izin, Anda dapat mengikuti proses yang diuraikan di sini https://id.player.fm/legal.
Viongozi wa Umoja wa Mataifa wamekazia wito uliotolewa na Katibu Mkuu wa Umoja huo Antonio Guterres kwa mamlaka za Kenya kufuatia machafuko yaliyotokana na maandamano yaliyoanza nchini humo Juni 18 kupingwa muswada wa fedha wa mwaka 2024. Maandamano yalianza Juni 18, yakiongozwa na vijana wakitaka muswada huo wa fedha ukataliwe wakidai yaliyomo yatasababisha maisha kuwa magumu zaidi.Mathalani ongezeko la kodi kwenye bidhaa muhimu kama vile mkate na taulo za kike, mapendekezo ambayo baadaye yaliondolewa kwenye rasimu na Bunge.Wabunge waliupitisha muswada huo jana Jumanne kitendo kilichochochea maandamano zaidi katika kaunti mbali mbali za Kenya na ambapo vyombo vya habari vinaripoti vifo zaidi ya watu 18, na wengine wamejeruhiwa.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kupitia msemaji wake alisema..“Ni muhimu sana haki za watu kuandamana kwa amani zizingatiwe. Kama tusemavyo duniani kote. Ni muhimu pia mamlaka zihakikishe kuwa haki hizo zinalindwa, na matukio ya vifo mikononi mwa vikosi vya usalama yachunguzwe. Watu wawajibishwe, polisi wa Kenya, mamlaka na jeshi wajizuie, na kwa waandamanaji waandamane kwa amani. »Inger Anderesen ambaye ni Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira UNEP pamoja na kuunga mkono kauli ya Katibu Mkuu amesihi mamlaka za Kenya kuhakikisha maandamano ya amani yanaweza kufanyika nchini Kenya.Bi. Andersen amesikitishwa pia na ripoti za vifo na majeruhi na kutuma salamu za rambirambi kwa familia ambazo zimepoteza wapendwa wao.Naye Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Kenya, Stephen Jackson yeye ametumia ukurasa wake wa X kuchapisha ujumbe wa Katibu Mkuu Guterres.Wakati huo huo, Rais wa Kenya William Rutto amehutubia taifa kwa mara ya pili ndani ya chini ya saa 24 na kusema pamoja na kwamba bunge limepitisha na mabadiliko, na wananchi wamezungumza kupitia maandamano kuukataa, ameamua kutotia saini muswada huo na hivyo utaondolewa bungeni na amekubaliana na wabunge kuwa ni uamuzi wao wa pamoja.
  continue reading

100 episode

כל הפרקים

×
 
Loading …

Selamat datang di Player FM!

Player FM memindai web untuk mencari podcast berkualitas tinggi untuk Anda nikmati saat ini. Ini adalah aplikasi podcast terbaik dan bekerja untuk Android, iPhone, dan web. Daftar untuk menyinkronkan langganan di seluruh perangkat.

 

Panduan Referensi Cepat